My website

Kaliua Institute of Community Development (KICD)

motto:education for development

(All Latest news and downloads)

NAMNA YA KUTUMA MAOMBI BOFYA HAPA

Habari Karibu  katika Chuo cha Maendeleo ya jamii kilichopo mjini Kaliua -Tabora,pamoja na tawi letu la Nyashishi-Mwanza.

Ndugu mpedwa waweza omba nafasi ya Masomo moja kwa moja kupitia mfumo wetu wa maombi(Online Application) 

Ili kuweza kutumia mfumo akikisha una kuwa na taarifa muhimu kama namba yako ya kidato cha nne, picha kivuli(passport size) pamoja na mawasiliano yako(email and mobile phone number).

Ama baada ya kujaza fomu utawezeshwa na mfumo kutizama maombi yako kama yamekubaliwa(accepted) 

Kutoka katika ukurasa wetu wa tovuti ya chuo bonyeza apply now ili kutuma maombi yako

Ama baada ya kuomba tafadhari tupigie simu kwa namba kwa  ajili ya maelekezo zaidi.

Makamu wa chuo:+255672120032

Msajili 0692407533